Habari ndugu zanguni
Mimi ni kijana wa kiume nina umri wa miaka 32 natafuta ajira yeyote ile ninaishi Dar es Salaam,elimu yangu ni kidato cha sita na nilikuwa nafanya kazi na hizi kampuni za utafuti wa masoko.
Ninawaomba wandungu kama kuna mtu anahitaji mfanyakazi yeyote wa shughuli yeyote...
Usahihi: hakuna kikao Chochote cha dharura hapa offisini ( CHADEMA)
Chadema Kwanza
Nyie CHADEMA acheni unafiki kwenu kunafuka moshi na hajasema hapo ofisini amesema Buguruni katka ofisi ya CUF
CHADEMA wamejimaliza wenyewe,Lowasa hata kwa dawa hapiti labda agombanie Urais huko Arusha lakini kwa Tanzania ataisikia ndotoni
Na yule Padre wenu Slaa ni heri arudi madhabahuni akatubu dhambi zake maana ni aibu na fedhea kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.