Hahahahaaha......enzi ya chama kimoja wagombea walikuwa wakihusudu sana jembe. Maana kuipata tu hiyo alama tayari 50% unayo. Sasa leo wamegawana, huyu nyundo yule jembe....
jembe tumechukua kuchimbia kaburi,,,,,,nyundo tutaifata baadae kugongea misumari ya jeneza ili shughuli ya mazishi👊👊👊👊👊👈👈👈👈👈👈👈👈👈👈
cjui cku pombe akimalizia sentence ya "Nitailinda,nitaitunza na kuitumikia jamhuri ya muungano wa Tanzania,Ee mwenyezi mungu nisaidieni"Akimalizia sentensi hivyo cjui him NDANI utakuwaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.