kwa uislamu hakuna amani,ukifuatilia uislamu zaidi unakuwa jihad,alafu nimekuuliza Uislamu Kama dini ilianza lini??na ikaletwa na Nani???na Allah anakaaje kisura????
Sisi ndio mahustler hiyo hatutaki na haiwezekani na hatuwezi itikia hivo😳sisi ndio kusema👌
Ata Team Ruto"Kenya Kwanza"washakana hayo maneno!!
No Joking with term limits!!
Tulikataa Deepstate sababu ya maneno Kama hizo!!
Kwisha sisi Tena hayo maumbu yafike Afrika!💀Kuna mengine ya aina yako Nakuru Kenya sehemu flani,yakikushambulia yanaacha mayai baada ya siku moja unaanza kutokeza minyongororo yanatambaa kwa ngozi unaliwa hai Kama cancer🙈sijui ilikuwa experiment ya hao mabeberu??waaah dunia hatari!!!
ndio sababu alikuwa afe Kama sisi,askie uchungu Kama sisi na afufuke arudi Binguni👌Lazima angelilia Babake kwasababu ni kuonesha heshima yeye alikuwa mwanadamu saa hizo na nguvu za Mungu zaweza ingia mahali popote ata kwa mtoto anayezaliwa!!!👌na kwasababu alikuwa mwanadamu sahizo lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.