Rais mstaafu mr.clean apewe sifa zake zote,bila kudhulumiwa aliuwa watu alijenga shule msimpunguzie wala kumuongezea aliyoyafanya,yanajulikana hayawezi kufichika yalitendeka hadharani, kama una kumbukumbu ya mazuri sema na mabaya pia yasemweeee
Kwa hakika kila mwenye akili salama anatambua kwamba hii ni nchi ya kuvumiliana kwa kuwa tunaamua sasa kuwa kila dini kivyake,tuanzie kwenye kuchinja twende kwenye mahoteli,hosptali,halafu tugawane na siku ya kupumzika kisha tuhamie kugawana na madaraka ya uongozi wa nchi yetu tukufu,na kila...
Kwa hakika jami itamkosa mtu muhimu,ambaye alipenda kusimamia haki na kuifundisha jamii kuishi maisha yanayozingatia upendo.amni na ushirikiano,MUNGU AMUHIFADHI MAHALA PEMA PEPONI AMIIN
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.