Recent content by kabuz'son

  1. K

    Ya kuzingatia

    Acha uadui,ugomvi,fitina,wivu,uasherat,uzinzi,wizi,uongo,usengenyaji na maneno ya uchochezi. Tutakuwa salama wote.
  2. K

    mapenzi siku ya kwanza.

    Ila mwisho wa yote tutakutana mbele ya kiti kimoja cha hukumu. Kwa nn tusiishi bila ngono zagao na tukawa na utaratibu unaokubalika mbele ya macho ya wazazi wetu, ndugu na Muumba wako? Take care it is a perishable days.
  3. K

    Masasi: Nyumba ya mbunge, magari 20, trekta vyachomwa moto... Watu wawili wadaiwa kuuawa!

    Mungu saidia watu wako wape macho,masikio, na akili ili wapate maarifa na ufahamu juu ya mambo yanayotukumba. Pasipo wewe hakika hatuwezi Mungu bariki Tanzania.
  4. K

    Kumwamini mungu na kumtii ndo suluhisho la yote.

    Watu wakimwamini Mungu na kufanya atakavyo:- je vita vitatoka wapi,malumbana,fitina, wivu, na rushwa, unyonyaji ambavyo vinarudisha maendeleo nyuma? Ebu tumaanishe uone mabadiliko.
Back
Top Bottom