Vifo vya akina mama na watoto vimekuwa tishio hapa tanzania. Hebu fikiria ni akina mama wangapi wnakufa kwa uzazi pingamizi? Je, serikali haioni? Kuna haja gani ya kuwapeleka wakina mama wajawazito hospitalini kama anahudhuria kliniki kadi yake inaonyesha hana tatizo, halafu wakati wa kujifungua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.