Sera yetu ya mbambo ya nje ni hatufungamani na upande wowote hiyo tangu uhuru hii Sera ilitusaidia kupunguza maadui ila kenya Sera zao ni kama usa au UK kupenda kuingilia mambo ya watu acha kiumane.
Kwahiyo ulitaka tusichimbe nyie tunawajua umeishapata bahasha tayari umeanza kelele kama zile za bomba la mafuta ya uganda kama imekuuma andamana tuache kidogo kazi nautu.
EU wanafiki tangu uhuru hakuna kiwanda walijenga tz kazi kutuuzia vitu vyao ili teknolojia yao isisambae laki China 🇨🇳 kajenga viwanda pwani yote ya tz morogoro dodoma nk sasa nani twende nae?
Hayo yalitegemewa baada ya kukosa gesi ya lindi wakapewa wengine kama wanauchungu kweli mbona uganda,Rwanda,kongo mbona viongozi wao ni wa milele umasikia wanaongea kitu. Chief tuache tupumzike kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.