Recent content by Kabukabu

  1. K

    Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

    Siku mkishituka mkaacha kukariri "MADAWA YA KULEVYA " itakuwa a little bit too late. Sijaona alichifanya Paul / Daudi kuhusu madawa ya kulevya ,
  2. K

    Paul Makonda avamia Clouds Media na kuwatisha SHILAWADU

    Kwani Ruge si WA clouds, mbona kesha confirm hii story au mjengo gani unaongelea?
  3. K

    Rais Magufuli amkingia kifua Paul Makonda. Asema yeye ndie anapanga nani akae wapi!

    Kazi gani anachapa? Next time atauwa. Tutaona TV gani ataitumia. Na hapo alipo hana amani. Uongozi upendwe na unao waongoza.
  4. K

    Yusuph Manji awekwa chini ya ulinzi siku 20, aiomba mahakama iingilie kati

    Sidhani nae alikuwa mjinga kiasi hicho. Anaweza kuwa na residence ya nchi ingine ambayo inaruhusiwa.
  5. K

    Toka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi

    Kila kitu kinawakati wake, Tusubiri asherekee mwaka WA pili
  6. K

    Gwajima achukuliwe hatua za kisheria

    Sheria gani kavunja, kusema anamjua Paul Makonda kama Daudi, vipi akiwa anasema ukweli. Makonda approve yeye sio Daudi and halafu a sue
  7. K

    Kwa Habari Kama hizi, Tafadhali sana Tanzania Daima Mtuombe Radhi Wananchi

    Hata wewe uliiweka kwa instagram yako je umeshaomba follower wako msamaha
  8. K

    Gwajima anaendelea kumshikia bango Makonda, adai amekimbia nchi kama Magufuli alivyotabiri

    Bashite ni special, pia kuna wakati aliitwa na watu WA haki za Binadamu sijui kama alienda.
Back
Top Bottom