Swali La Msingi naweza Kukuuliza Wewe Unaamini Waadhiri wapya Hawapo wala hawawezi Kutokea? Nafikiri Kuondoka Kwa Mmoja Kunaleta Kuzalishwa Kwa Wengi Zaidi. Nafikiri ni Uoga Tu
Tangu Umeandika Haya Nani Amekufunga? Uhuru Bila Utii ni Uwendawazimu. Embu Tufanye Research isiyorasmi tujue wale wanaoikosoa serikali na wakatiwa mbaroni yaani ina maana sisi tuliobaki ndio tunaisifia serikali? Kuna Pahala Tunakuza Mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.