Recent content by kabavamwo

  1. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Hiyo si sahihi Kwa suala la DRC. Ukipigana vita nchini DRC madini ya nchi hiyo yanaifadhili. Ndiyo maana nchi maskini kama Rwanda inaneemeka kupigana vita huko miaka nenda Rudi. Hata marekani wako tayari kufanya hivyo Kwa sababu wanajua kuwa kupigana vita huko inalipa. Hata sisi tungekuwa na...
  2. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Hatari sana. Hata usalama wa nchi yetu utakuwa hatarini!
  3. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Ni wavamizi Kwa sababu hata mazungumzo ya kuleta amani yanaihusu zaidi DRC na Rwanda na hao M23 ni misukule tu ya Wanyarwanda. Kama siyo jeshi la uvamizi hata mazungumzo yasingeihusu Rwanda.
  4. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Na siyo hiyo tu. Rwanda waking'olewa DRC nchi ya Rwanda itashindwa kujiendesha. Hata mishahara hawataweza kuwalipa watumishi wao. Kwa hiyo Rwanda hulichukulia suala la DRC kama ni la kufa na kupona. Wako tayari hata kuua wacongo wote Ili serikali ya Rwanda isianguke Kwa kukosa pesa ya kuendesha...
  5. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Hata kama ni Rwanda. Kwa nini turuhusu Hawa Wanyarwanda watupige?
  6. K

    Je, majeshi ya Tanzania na Afrika Kusini yameshidwa na M23?

    Hii ya kulinda amani unaipata katika sheria ipi? Wanajeshi wetu hawakwenda kwenye mwavuli wa UN Bali Kwa mwavuli wa SADC Ili kupigana Kwa ajili ya mwenzake. Ukweli ni kuwa tulipigwa na M23. Mambo ya aibu sana
  7. K

    Jeshi la Tanzania tulifikirie upya baada ya kushidwa na M23

    Siyo kweli kaka. Jeshi la SADC lilienda kupigana kumlinda member state mwenzake kama ilivyo kwa NATO wanavyofanya Kwa member state mwenzao. Hatukwenda kulinda amani Bali kuwatoa M23 na ndiyo sababu mkwara wa kwanza ilikuwa ni kupiga kunguru (M23). Inasikitisha kuwa tulipigwa kama watoto wadogo...
  8. K

    Rais Magufuli aagiza kiwanda cha Buko kuanza kazi ya kubangua korosho mara moja. Waziri aita wanasayansi wa UDSM haraka

    Wanafanya kazi za kitafiti. Ufundi mchundo si sehemu ya kazi yao!!
  9. K

    Mkuu wa Wilaya Serengeti aliyeteuliwa kimakosa aaibishwa kwa kutolewa nje ya Ukumbi Ikulu

    Mimi ninashindwa kuelewa. Nasikia kuwa Emily ni msomi na ni kijana kuliko nurdin. Iweje rais afanya hivyo wakati alituthibitishia kuwa uteuzi wake ni vijana wasomi? Hahahahaah
  10. K

    Tanzania Calls Burundi Allegation On Rwanda “Flying Rumours”

    Hiyo Habari imepotoshwa na watutsi. Mheshimiwa mahiga hakuyasema hayo hapo juu. Angalia hapa alichosema Listen to Minister Mahiga #np on #SoundCloud https://soundcloud.com/willy-nyamitwe/minister-mahiga-didnt-say-what
  11. K

    Tanzania Calls Burundi Allegation On Rwanda “Flying Rumours”

    Sidhani kama mh Mahiga hafahamu juu ya Hima empire. Nadhani hiyo ilikuwa tu ni political games. Kagame is widely known as a modern African Hitler.
  12. K

    Tanzania supports plan to send 5,000 troops to troubled Burundi

    Hii siyo vyuma kaka. Angalia tena! Huyo vyuma ni nani mpaka atumie multiple IDs?
  13. K

    Tanzania supports plan to send 5,000 troops to troubled Burundi

    Tanzania haikuwa inamkingia kifua Nkurunziza na pia haina uadui naye kama mlivyo nyie. HIyo ni tafsiri yako ya kimungiki mungiki. Maamuzi hubadilika kutokana na wakati pia na hiyo haitafsiriwi kama ni kuwa kigeugeu kaka!
  14. K

    Tanzania supports plan to send 5,000 troops to troubled Burundi

    Nadhani kazi mojawapo ya jeshi hilo la Africa iwapo litatumwa ni pamoja na kumsaidia nkurunziza kupambana na wakorofi kama Kagame na waasi anaowafadhili kupigana vita nchini Burundi. Nadhani kilichowavutia zaidi RSA na TZ ni pamoja na kuwa wale waasi wa m23 wanashirikiana na watutsi wa Burundi...
Back
Top Bottom