Zitto Kabwe
Kibaha 28.06.2015
Leo ACT Wazalendo inatimiza mwezi wa tatu tangu mkutano
mkuu wa kuchagua viongozi wake wa kitaifa ambapo baadhi
yetu tumechaguliwa kuongoza chama chetu. Katika kipindi
hicho tumeweza kutambulisha chama chetu katika makao
makuu ya mikoa 22 ya Tanzania bara...
Chadema leo wametaka kuhujumu mkutano wa ACT-WAZALENDO lkn hila zao zote zimeshindwa na watu wamejitokeza kwa wingi kama ambavyo mmeona picha za mikutano leo mkoani MBEYA.
Toeni Majibu Chadema
Mara nyingi mwatoa taarifa za uongo
Sasa maswali hayo,twaombeni majibu
Majibu twayasubiri kwa hamu.
Chadema Toeni Majibu
Watanzania tunasubiri MAJIBU YA CHADEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.