Sheria ya kodi ya Tanzania, inampa ruhusa mtanzania ane rejea kutoka nchi za nje kuja na vitu vyake alivyo kua akivitunia na havitozwi kodi
https://www.tra.go.tz/page/returning-resident
Nina ishi Japani
Nataka kuleta baadhi ya mizigo Tanzania (haifiki kontena).
Nahitaji kampuni itakayo nisafirishia na ku clear mizigo yangu bandarini.
Kama kuna mtu mwenye kampuni yupo humu
Au unaijua kampuni
Naomba tuwasiliane.
Kama kuna mwenye uzoefu pia naomba share nami.
NB: Nahitaji...
Naomba kujuzwa, kampuni gani kongwe inamilikiwa na mtanzania na ina miaka mingapi?
Nini sababu za kampuni kudumu muda mrefu?
Nini unapaswa kufanya kurefusha uhai wa kampuni yako?
Nimeona Japan kuna makampuni yana miaka zaidi ya 500. Sisi kampuni kongwe lina miaka mingapi?
Asanteni.
Japani kuna fursa nyingi za ajira (zisizo rasmi) ila zenye kipato kikubwa ukilinganisha na Tanzania.
Maisha ya Japani hayana gharama kubwa ukilinganisha na nchi nyingine zilizo endelea
Japani hali ya ubaguzi kwa
Waafrika sio kubwa ukilinganisha na mataifa mwngine.
Visa ya Kufika Japani ni...
Point kubwa hapa ni muda anaochukua kujibu (1 day). Hata uulize swali la kipuuzi kiasi gani utajibiwa immediately. So kwangu mimi hii bi new experience kuambiwa nisubiri siku moja
Ni project nafanya na Chat, tumefikia hatua ya execution ananiambia itachukua siku moja. Ndio maana nimeshangaa. Siwezi ku disclose maana ni biashara. Ukiaoma response zake utapata clue tunazungumzia nini.
Anyway, my point was, kumbe chatGPT na gen AI zingine huwa zinafikia hatua zinahitaji...
AI imetumia zaidi ya siku moja sasa, mpaka sasa haijatoa jibu la swali/task langu. Kila nikiuliza update ananiambia nisubiri analifanyia kazi.
Au uwezo wake umeishia hapo?
Vijana tumeshindwa kutengeneza data kweli? Huwa najiuliza ili uweze kutengeneza data lazima uwe na network? Nadhani ifikie hatua wauza data wawe huria, kila mtu apange bei yake na data iweze kutumika mtandao wowote.
Tutafute solutions, tuache kulalamika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.