Mwambie mkeo akuandalie chakula unaskia njaa.. hayo ndio majukumu yake.. alafu wanaume wa siku hizi unawaogoba wake zenu kama wamewatolea mahali.. mtume akuandalie chakula wakati wowote hata saa 8 usiku..ndio kazi yake
Wanaume wa dar hata kula ubembelezwe?? Sie huku kwetu tukifika tunaulizia kama wameivisha tunakula tunashiba baadae tunaelekea kugegeda mzigo.. sasa we na njaa yako hiyo utagegeda kweli?? Na usipo gegeda kila siku ukazila kula hata mwezi .. si utapigiwa??
Huu ujinga wa mtoto wa kishua huwa siulewagi point mnawapa za nini? Kwa kutumia gari la wazazi wake au kukaa home?? Ni ufala.. ushua lazima uutengeneze mwenyewe #selfmade...
Wanajichosha tu.. unatengeneza nyimbo inahit mtwara alafu unaenda kusainiwa na lebo inayofanya shughuli zake marekani ni wehu first class... alafu mie kiukweli huwa sielewi ni nini hawa wasanii wa bongo wanakimbilia marekani mbona africa kuna watu wengi na kuna hela mingi?? Kuna zaidi ya watu...
Ha ha ha unabahati mbaya sana.. mie nikienda kukata tiketi huwa nauliza namba za siti walizokata mademu.. siku zingine nabahatisha mademu wakali.. nahuwa siwakosi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.