Ukiwa unatokea wapi? Hapo nimefahamu mto mara tu.Nani wa Kibumaye, Kemakorere, Nyarero, Nyamwaga, keisangora, Kumwika, unachanja kuelekea Bungurere, kangariani, Ketawasi, Masurura unaelekea Gibaso hadi mto mara
Ukiwa unatokea wapi? Hapo nimefahamu mto mara tu.Nani wa Kibumaye, Kemakorere, Nyarero, Nyamwaga, keisangora, Kumwika, unachanja kuelekea Bungurere, kangariani, Ketawasi, Masurura unaelekea Gibaso hadi mto mara
Na masurura nimepafahamu.Nani wa Kibumaye, Kemakorere, Nyarero, Nyamwaga, keisangora, Kumwika, unachanja kuelekea Bungurere, kangariani, Ketawasi, Masurura unaelekea Gibaso hadi mto mara
Na masurura nimepafahamu.
Nsamaka bwana ukiwa unatokea Tarime mjini kupanda juuUkiwa unatokea wapi? Hapo nimefahamu mto mara tu.
Hahahahaa!Weye nakuona ujue?Huku Pembe lwa Senga tunakusabahi! Delagawiza Mayo?
Napapata vzr maeneo hayo.tokea kiabakari kwenye ndizi, buzahya, sabasaba unashuka hadi kisamwene unaiacha busegwe mkono wa kulia unaingia kibubwa sasa unaitafuta masurura ukirudi hapa busegwe unashuka bonge la mteremko hadi butiama hapo mwitongo unakula kona kushoto unashuka hadi nyawaryoba wanapochimba dhahabu unaingia kiabakari madaraka unaenda mbele hadi kata mining maeneo ya kataryo unanyoka hadi suguti
asante kwa kusikiliza mwenye swali karibu
Hahahahha haya bhana.Nsamaka bwana ukiwa unatokea Tarime mjini kupanda juu
Tupo jirani, ryamisanga, keswaJamani Wa Kiagata, Kyankoma, Ryamisanga mpoo
Magoda cio magodo
Nimesoma Mwakakeli...zunguka sana Isange,Mpombo daaah it was a good life back then!Abha ku lisu ipimba mweee,Mwakaleli moja.
Watu wapale ni wema sana, tulisoma pale baadae wakasema tumechoma shuleNyamuswa(Ikizu)