Raha jipe mwenyewe ndugu, Ukisubiria raha ije yenyewe haiji, baada ya majukumu yako serikalini fikiria nin unakipenda nenda kakifanye ujipatie furaha, kama ni kunywa kanywe kwa kiasi, kama ni kusoma kasome sana, kama ni kucheza kacheze utakavyo, as long unajua ukikifanya iko kitu utapata furaha...