Pamoja na kukugawia virus bado unamuona wa maana? Mtu aliyedhamilia kukuua kwa makusudi!!! Hayo maisha mazuri yatakusaidia nn kama afya haipo?
Yaani nimekushangaa sana! Huna cha kuwashauri wengine endelea tu , usijedhan hayo madonge yatakuweka hai milele! Fuatilia watumiaji utakugundua vifo...
Wao ndiyo wenye timu sasa huyo mo ni wakuja tu, hata serikali inalijua hilo ndiyo maana ili ingilia kati. Unadhani yale Maneno alizungumza Rostam yalikuwa ni yake? Alitaka afanye kama mo akastuliwa
Kwani simba imeanzishwa mwaka juzi? Kama hpn miaka yote iliwezaje kusajiri na kulipa mishahara? Au huyo mnyaturu alikuwa analipa yeye! Acha kujibu kishabiki tumia akili kidgo mtani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.