Mwendawazimu!!!! Angeline Mabula alikuja kanisani na wafuasi wake kutoa shukrani wamevaa nguo za CCM katika Kanisa Katoliki la Kirumba baada ya kuteuliwa kuwa waziri kamili. Hapo hakuna shida.
Yaani wewe ni takataka kabisa. Majimbo yanaliyo chini ya CCM ndiyo yanaongoza kwa umasikini. Nashangaa eti walichaguliwa na nani au Mwendazake alivyoiba uchaguzi hukujua.
Kuna viti maalumu wako mtaani eti walichaguliwa. Nani? Akili ya mazombi tupu.
Kwa hiyo akina Lema ndo waielekeze serikali jinsi ya kulinda raia wake? Kibiti wanakufa mwandishi aliyeandika habari za kibiti yuko wapi simmempoteza? Coco beach unaona ni ufahari hata serikali yako haijui ifanye nn lkn inajua kinachoendelea,hata diamond aliimbia ccm sana kamuulize kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.