Kuna mtu amekua akirekodi mawasiliano ya cm yangu .... yaan sms zote ninazotuma na kutumiwa yy anaziona pia hata nikipiga au kupigiwa anasikiliza maongezi yangu...... nisaidieni njia rahisi ya kumuepuka huyu mtu..
Hallo wanajamvi..... hata mm nahitaji laptop nzuri ya kutumia chuoni.... mm nasomea bachelor with education.. je laptop ipi itanifaa... pia napenda sana kuchek movie na playing games.... so nishaurini laptop nzury........
Hebu jaribu kuingia play store then tafuta ....adventist all apps.... nathani unaweza kuipata coz happ utaona apps nyingi sana za wasabato.ikiwemo radio na tv..
Nimejaribu kutaka kujisajili na huu mtandao lakini nimeshindwa kutokana kutokuona sehem iliyoandikwa sign in ..sign up n.k. sasa kwa anayefahamu jinsi ya kujisajili kwenye huo mtandao atujuze
Ahahaaaahaaaahaa nonaogopa kuwapa watu taarifa za uongo.... so nina uhakika wa ninachokisema..... mbona mtu wa marekani anaijua tz kuliko ww unavyoijua japokua unakaa tz...... M2flan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.