Maneno yako yana ukweli 90% ila namna ya kumshauri maneno ni magumu, ila sababu ameshaona kwamba anatuma sana mkono kwa kujichua na yeye anapaswa kumuandaa kwa mkono siyo direct unaanza na papuchi unaanzia mbali kichwani, kifuani kisha namalizia na chini hapo kaa muda mrefu acha pupa ya kupiga...
Ni kwamba hayo ni yale yaliyokaa muda mrefu kwenye friji huko supermarket kubwa kwahiyo hao wanapewa kama reject kuja kuuza yale fresh uwezi pata bei hiyo mkuu
Na hata hizi wanaziita sijui smart phone tunazochat nazo huku Jamiiforum wasingetuleta wenyewe tulizoea kuandikiana barua mashine za kusaga unga tulizoea kutwanga tu tumeacha tamaduni zetu za nyumba za nyasi na kuvaa ngozi leo wametuletea utamaduni wao kupiga pamba "yaani hawa wazungu na waarabu...
Kwenye hili pana funzo kwa wanawake mtu akishakupata hana tena thamani na wewe kwahiyo acheni kuchepuka kama kuna mapungufu kwa mumeo/mkeo mueleze ufanyiwe nini ili ufurahie maisha ni hayo tu
Sent from my SNE-LX1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.