Kila siku nasikia uuzaj na ununuzi wa hisa,
1. Naomba kuelimishwa maana ya hisa,
2. Unapataje faida unaponunua na kuuza hisa?
3. Nina kamtaj ka million 5 ninaweza kukawekeza kwenye hisa nikapata faida?
4. Uendeshaji wake ukoje?
5. Kuna masharti ya kumiliki hisa?
Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.
Mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo kmoja hapa tz, nilienda nikasajiriwa then nikaomba kuahirisha nikakubaliwa kwa mwaka 1 maanayake ilitakiwa niende 2015/2016, mpaka muda huu nmeshindwa kwenda kwa sababu ya matatzo ya kiafya na sijatoa taarifa.
Je nikienda mwakani ntakubaliwa? barua za...
WanaJF wenzangu nina diploma ya Water Supply Engineering (GPA 4.210), Form 4 nilipata div. II ya point 21 ndo nikachaguliwa technical college, huu n mwaka wa tatu sasa nipo mtaan, naomben msaada
naomba mnisaidie, mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo fulan hapa tz(SUA) kutokana na matatzo ya kiafya nilienda nikasajiriwa badae nikaomba kuahirisha nikakubaliwa nikarud kwenye matibabu. mwaka huu ndo ilitakiwa niende lakn mpaka muda huu afya yang haijakaa sawa, naomba kuulza
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.