Recent content by Junior Tata

  1. J

    Naomba kufahamishwa kuhusu Hisa

    Kila siku nasikia uuzaj na ununuzi wa hisa, 1. Naomba kuelimishwa maana ya hisa, 2. Unapataje faida unaponunua na kuuza hisa? 3. Nina kamtaj ka million 5 ninaweza kukawekeza kwenye hisa nikapata faida? 4. Uendeshaji wake ukoje? 5. Kuna masharti ya kumiliki hisa?
  2. J

    Nina sh 500,000, nahitaji simu imara!

    Nina sh. lak 5 nataka kununua smatphone nzur na imara ninayoweza kutumia kwa miaka 4 bila kupatwa na tatzo vile vile iweze kushika mtandao vjijini, n aina gani ya simu inanifaa.
  3. J

    Itawezekana tena?

    ahsante kwa msaada kifimbocheza
  4. J

    Itawezekana tena?

    Nilichaguliwa SUA, Bcs. in Water Resource and Irrigation Engneering
  5. J

    Itawezekana tena?

    kama nikitoa taarifa tena nitaruhusiwa kuahirisha kwa mara ya pili?
  6. J

    Itawezekana tena?

    Mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo kmoja hapa tz, nilienda nikasajiriwa then nikaomba kuahirisha nikakubaliwa kwa mwaka 1 maanayake ilitakiwa niende 2015/2016, mpaka muda huu nmeshindwa kwenda kwa sababu ya matatzo ya kiafya na sijatoa taarifa. Je nikienda mwakani ntakubaliwa? barua za...
  7. J

    Miaka 3 mtaani

    wazo zur mkuu naweza kukufuata inbox kwa ushaur zaidi?
  8. J

    Miaka 3 mtaani

    mwakan lazma niombe chuo
  9. J

    Miaka 3 mtaani

    WanaJF wenzangu nina diploma ya Water Supply Engineering (GPA 4.210), Form 4 nilipata div. II ya point 21 ndo nikachaguliwa technical college, huu n mwaka wa tatu sasa nipo mtaan, naomben msaada
  10. J

    Jeshi la polisi lazingira kituo cha sheria na haki za binadamu, lakamata watumishi

    siwez kupiga kura tena, huo muda bora nikasage mirungi
  11. J

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    vp kuhusu kuchamba coz huu wino unawasha kwl
  12. J

    Nimeahirisha tena je n'taruhusiwa tena?

    naomba mnisaidie, mwaka jana nilichaguliwa kujiunga na chuo fulan hapa tz(SUA) kutokana na matatzo ya kiafya nilienda nikasajiriwa badae nikaomba kuahirisha nikakubaliwa nikarud kwenye matibabu. mwaka huu ndo ilitakiwa niende lakn mpaka muda huu afya yang haijakaa sawa, naomba kuulza 1...
Back
Top Bottom