Recent content by junior ssori

  1. junior ssori

    Hivi ni kwanini CCM hawajazi nafasi iliyoachwa wazi na Kinana?

    It was absolutely out of plan kwaiyo lazima wajiongeze
  2. junior ssori

    Hukumu ya waliotumwa na afande ni kiinimacho; ishu nzima iko hivi

    Kimsingi umeandika sana na unastahili pongezi nikukumbushe tu Tz ilipofika inahitaji miujiza kukaa sawa
  3. junior ssori

    KERO Nimelazwa hospitali moja ya Wilaya, huduma ni mbovu sana

    Wote mnaodhani wanaompinga SSH hawampendi mnakosea sana hata mie nilidhani hivyo mwanzo mpaka yaliponikuta. Nimelazwa hospitali ya wilaya mkoa mmoja huku kanda ya ziwa sijaamini macho yangu kama ni mimi mtumishi ninafanyiwa hivi embu imagine hospitali madaktari na manesi wanajifanyia kazi kwa...
  4. junior ssori

    Nimepeleka barua ya kujitolea kufundisha Mkuu wa Shule anasema tunashida lakini hatutakulipa hata mia

    We mwehu kweli umesoma mpaka chuo na haujui maana ya KUJITOLEA
  5. junior ssori

    Hii kitaalam tunaitaje

  6. junior ssori

    Tabiri Top 4 ya EPL kuelekea Msimu mpya wa 2024/25

    Simba Yanga Azam Pamba
  7. junior ssori

    KERO Dada yangu amefariki kwa kuishiwa Oxygen baada ya Muhimbili kufosi kumpeleka Mloganzila

    Dah poleni sana na nikupongeze kwa uandishi smart.Wala usione umelalamika hapana kifo ni mpango wa Mungu kama una imani ila kwa kifo cha dada yako kitumike pia kukomesha uzembe wa wahudumu wa afya natamani Waziri Ummy some uzi huu poleni kwa msiba ndugu RIP dada yetu.
  8. junior ssori

    Msaada: Baba alitoa shamba Kama sadaka kanisani, familia tunataka kulirejesha tuanzie wapi?

    Sio alitoa kama sadaka ni sadaka katafuteni la kwenu kuuupileri
  9. junior ssori

    Mzigo wa wazazi kulea mabinti na watoto wa binti zao

    Sometimes wanasaidia wazazi kuchangamka na kuwa active kutokuzeeka vibaya kikubwa watume matumizi Ila hekaheka za wajukuuu kwa wazazi kachumbari poa sana kwa upande wangu
  10. junior ssori

    Ujue ukweli kuhusu NASA

    Uliposema ndani ya dunia kuna jua na mwezi nikagundua nimesoma ujinga ulioandikwa na mjinga
Back
Top Bottom