Kuna silaha, au baadhi ya vyombo vya usafiri ambavyo hutumika na jeshi tu. Huwezi kukuta hata sekta zingine za ulinzi na usalama wanatumia. Mfano polisi watumie grenade za nini? Au polisi wana mamlaka ya kutumia ndege za kivita?. Sasa kwanini Chama cha siasa kitumie helicopter yaki vita? Haiwekani.
Ni kweli kabisa ila hayo maaagano ya siri hayo kwanamna moja ama nyingine ndio yanachangia kutuweka kwenye ukoloni mambo leo. Yaaani bado tupo chini yao
Je ni kweli maaana haya ni yale yaliowekwa wazi kwa umma kujua historia ya makubaliano yaliotolewa. Je mwenye upande wa pilo ipo hivyo kweli au kulikua kuna makubaliano zaidi ya hayo maaana hadi leo wewe utakua shahidi Afrika haiwezi kufanya maaamuzi makubwa kama bara bila wajamaaa kuweka baraka...
Ili uchambue hizo habari inabidi kwanza usikilize ushauri wa mwanasheria kwanza,kwa maaana endapo uchambuzi wako utaenda tofauti na mawazo ya wakuu unaweza kuwa hatarini kwa kushawishi umma kupandikiza chuki ama kuhamasisha vurugu
Vipi kama tunavyo dhani sivyo mambo jinsi yalivyo?, mimi sina uhakika na lolote najaribu tu kufikiria.
Tulipata uhuru bila kumwaga damu, kupitia Raisi wetu wa kwanza Mwalimu Nyerere,Je aliwashinda kwa hoja wazungu na kweli wakakubali kumpa nchi na uhuru!? Kwasababu alikua hana hata kitu cha...
Amini na kwambia dunia ni kweli haipo kama sisi tunavyo dhani ila kutaka kujua inaendeshwaje tutabaki ku hisi tu kwa kutumia tathmini ya matukio ila uhakika hutaupata kamwe labda vinginevyo ukajiunge na shirika la CIA marekani. Nyuma ta pazia kuna giza sana na mambo ya hatari na ajabu kubwa
Mimi siwezi kuzungumza lolote katiks hili kwa maana sina evidence au uhakika wa mambo yoyote yale ila ninachoweza kusema ni; kuna dunia tunayoishi sisi nikimaanisha wananchi wa kawaida na dunia wanayoishi viongozi wa nchi mbali mbali hapa duniani ambayo nauhakika hatujui ikoje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.