Ninachojua pale ilikuwa ni mizaha tu Neno linasema " heri mtu yule asiyeketi barazani pa wenye mizaha,! Sasa pale Kwa mwamposa ni unafiki na uzandiki ndio ulitawala. ETI RAIS ANASEMA, NI TUMAINI LAKE KUWA HEMA LILE HALITAKUWA SEHEMU YA KUDANGANYA WATU, TANGU LINI YEYE ANAIJUA DINI YA KIKRISTO...
Mwenge ni mungu wa taifa hili la Tanzania! KAFARA na zindiko Kwa ajili ya mfumo wa UTAWALA! Mwenge una mizizi mirefu na historia pana ya zamani sana . Chanzo Cha mwenge ni UGIRIKI YA ZAMANI, mwenge ni mungu wa anga, dhoruba na mvua! MUNGU huyu Kwa kigiriki anaitwa ZEUS, Kwa kirumi anaitwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.