Recent content by June 2023

  1. J

    Kama Kada Mwandamizi na Mwanadiplomasia nguli anaweza kumkosoa boss wake hadharani hivi, basi Rais amezungukwa na genge hatari sana la kisiasa

    HALAFU SIKU HIZI ANAONGEA KASAUTI FLANI HIVI KAMA MVULANA ANAYEANZA KUBALEHE, SIKILIZA VIZURI, NAJIULIZA BASE YA NINI ? ETI SAUTI YA MAMLAKA!!!!!!
  2. J

    Wadau Watilia shaka uwepo wa mtu mwenye suti nyeusi karibu na Tundu Lissu Mahakamani

    D Siyo taifa TU mkuu ni Africa nzima haijawahi kuwa na mama kilaza afu akawa rais
  3. J

    CHADEMA: Tunalaani kauli za kichochezi zilizotolewa wakati wa uzinduzi wa Kanisa la Arise and shine la Mwamposa

    Ninachojua pale ilikuwa ni mizaha tu Neno linasema " heri mtu yule asiyeketi barazani pa wenye mizaha,! Sasa pale Kwa mwamposa ni unafiki na uzandiki ndio ulitawala. ETI RAIS ANASEMA, NI TUMAINI LAKE KUWA HEMA LILE HALITAKUWA SEHEMU YA KUDANGANYA WATU, TANGU LINI YEYE ANAIJUA DINI YA KIKRISTO...
  4. J

    Sina kumbukumbu kama amewahi kutokea Mwanasiasa mwenye akili nzuri na smart nchi hii kama Tundu Lissu

    Mwehunkweli mama mchamba wima kakopa trilion40 ndani ya miaka minne.. unamfananisha na mughwai?
  5. J

    Je Gazeti la Mwananchi litapona?

    No reform no ELECTION
  6. J

    Naomba nielimishwe juu ya umuhimu na faida za mwenge wa uhuru unaokimbizwa kila mwaka nchi nzima

    Mwenge ni mungu wa taifa hili la Tanzania! KAFARA na zindiko Kwa ajili ya mfumo wa UTAWALA! Mwenge una mizizi mirefu na historia pana ya zamani sana . Chanzo Cha mwenge ni UGIRIKI YA ZAMANI, mwenge ni mungu wa anga, dhoruba na mvua! MUNGU huyu Kwa kigiriki anaitwa ZEUS, Kwa kirumi anaitwa...
  7. J

    Mada maalum: Tuijadili Tanganyika

    Tanganyika Kwa Sasa Tanganyika inatawaliwa na mkoloni CHURA KIZIWI
Back
Top Bottom