Mtoa mada hajui anachokiongea binafsi hakuna kada ambayo ni zaidi ya nyingine pili Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali haitoi ushauri bure kwa wananchi ambao ndio wanafanya wanalipwa mshahara ofisi hii imejaa rushwa ndio maana serikali haishindi kesi ata mtu akija kucertify vyeti lazima atoe...
Ndugu zangu acheni fikra potofu mnang'ang'ania dar mlizaliwa uko kwan dar kuna nn ambacho hakipo mikoani nendeni mikoani fursa nyingi zipo uko msipo kuwa makini hamta timiza ndoto zenu ata siku moja yangu ni hayo tu, asante.
Wewe acha kudanganya watu hakuna paper hisiyo sahishwa utumishi wote tumepita uko tunaijua utumishi vizuri sana ninyi siku zote uwa ni watu wa negative tu sasa kama uli score 50% sasa hiv uko wapi
Hacha kuropoka ww liverpool, Arsrnal, Chelsea na Man city zilishindwa kushuka daraja Man u ndo ije ishuke subiri hadi tarehe 1 sept ndo uongee kila mchezaji kwenye timu ana kazi yake na tafuta timu mojawapo kati ya hizo apo juu ya kutoa kwenye top 4 maana wanaume wanarudi kwenye nafasi yao msimu huu
Ata mimi niliambiwa kupigiwa simu lakin bado ila jana nilienda kuwauliza wakasema watapiga simu so ondoa hofu kaka tuko pamoja nipe mawasiliano yako tuwe tunajuzana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.