Recent content by jumamwaki

  1. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Maswali konki kwa Rostam Aziz baada ya interview yake hapo UTV

    Asingeweza kujibu
  2. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Tanzania yatoa majibu na msimamo wake kwa Azimio la Bunge la Ulaya la Mei 8, 2025

    Tatizo sioni Serikali ikichukua hatua ya kulinda Raia hasa wale wenye maoni tofauti na wenye kuikisoa serikali, Bunge halijadili kuhusu kutekwa na kuuwawa Kwa watu , Bali linaongelea mambo ambayo Kwa ujumla Wala hayana tija
  3. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Pambalu, Twaha Mwaipaya, Lucas Ngoto na wanachama kadhaa wa CHADEMA wapigwa na Polisi na kutupwa Bagamoyo

    Kama Hadi Sasa Rais wa Taifa hili atakaa kimya bila kutoa Tamko ingawa matamko hayasaidii bila shaka hii ni mbaya Kwa uongozi
  4. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi rahisi kuiendesha hata ukiwa mbali?

    1. Jenga nyumba yenye muundo wa chumba sebule kadhaa pangisha. 2. NUNUA Hisa kwenye Taasisi zenye ziko imara kiuchumi. HAKUNA BIASHARA NYINGINE ZAIDI YA HIZO
  5. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania KERO Soko la SIDO mkoani Mbeya na changamoto zilizopo

    Sheria inataka uchaguzi ufanyike Kila baada ya Miaka mitatu , Na anayesimamia Sheria hii ni Kuitekeleza na MKURUGENZI WA JIJI. Ndiye msimamiaji wa shughuli zote za uchaguzi wa VIONGOZI Wa soko
  6. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania KERO Soko la SIDO mkoani Mbeya na changamoto zilizopo

    Soko halina meneja? Ushuru mnalipa? Kwani bila kuwa na uongozi biashara haziendi? Ningependa kukujibu baadhi ya maswali 1. Kuhusu soko kuwa na meneja , Kama ambavyo ktk taasisi mbali mbali na katika nchi yetu Kuna Sheria ambazo zimewekwa ili zifuatwe Kuna Sheria inataka kuwepo na uchaguzi...
  7. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania KERO Soko la SIDO mkoani Mbeya na changamoto zilizopo

    Habari wapendwa. Tukiwa tupo mbioni kumsaidia mh rais samia kwenye kuleta maendeleo kuna baadhi ya mambo ambayo huenda yanasababishwa na viongozi kwa kujua yaani makusudi au kwa kutojua. Nianzie kwenye mambo yafuatayo kwenye jiji letu la mbeya ambayo kwa kweli yanakera sana . #soko la sido ni...
  8. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Mbona malalamiko mengi kwenye nyumba za kuficha Bati (Hidden Roof), Mafundi wanakosea nini hadi zinavuja?

    Nadhani Mafundi wapo. Na asili ya hizo nyumba ni kumwaga ZEGE JUU . Kwa hiyo nyumba iweze kuhimili hilo ZEGE Ukipata fundi wa kufanya hivyo na gharama uwe Tayari kuimudu bila shaka huwezi kupata shida
  9. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Nifikishie ujumbe huu kwa Askofu Dr Bagonza. Askofu wa Dayosisi ya Karagwe

    No Ni kweli Ni Udhaifu . Lakini linapokuja suala la kumzungumzia Binadamu kwamba Ni Kama Yesu Ni Udhaifu Zaidi
  10. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Mimi Nahitaji connection ya kupata Mabelo ya Nguo za mtumba hasa Nguo zinazozuia Baridi .
  11. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Nifikishie ujumbe huu kwa Askofu Dr Bagonza. Askofu wa Dayosisi ya Karagwe

    Lugola ana matatizo Atamfananishaje Magufuri na Yeah😂😂😂
  12. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

    Habari Ndugu ? VIP naweza pata connection ya mabelo ya Nguo kwa ajili kkuzuia ya Baridi nipo Njombe
  13. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Kijana afanya utani wa kutaka kumuua Rais Magufuli, aambuliwa kifungo cha miaka 2 jela

    Lazima kusoma alama za nyakati. 😀😀😀😀Ukiona kichaa kabeba mawe na kirungu inabidi utengeneze urafiki TU na Huyo kichaa 🙄 Ndicho wenye Akili hukifanya sasa
  14. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Dar Es Salaam: Mhitimu wa kidato cha nne aliyefichwa vifo vya wazazi na ndugu zake apewa taarifa baada ya siku 22

    Mwaka 2002 nikiwa form two pale Tukuyu day secondary school wilaya Rungwe nilipitia changamoto kama hii ,Nilifiwa na Mama yangu MZAZI nikiwa kwenye mitihani sikuambiwa chochote Hadi nilipomaliza mitihani lakini huwezi Amini kadri masaa yanavyokwenda ndivyo unapata hisia tofauti Tofauti...
  15. jumamwaki

    JamiiForums Tanzania Dar Es Salaam: Mhitimu wa kidato cha nne aliyefichwa vifo vya wazazi na ndugu zake apewa taarifa baada ya siku 22

    Dah inaumiza Sana . Pole sana mdogo wangu. Mungu akutie Nguvu
Back
Top Bottom