soko la monduli tarehe 1 January 2015 limedoda kwa kukosa wateja! EL amekuwa na kawaida kuona wapiga kura wanaomuunga mkono kwenda monduli kila tarehe 1 January kula nyama!
Mwaka huu wajumbe wameshtuka baada ya Pinda kutangaza nia imebidi aamurishe wapambe wake watoe ahadi za kuomba...
Kwenye kikao cha halimashauri kuu ccm wilaya ya arusha mjini Mnec mwalusamba atoa msaada wa sh mil 10 kwa ajili ya uchaguzi wa serekali za mita kata zote za arusha mjini huu ni mfano wa kuingwa kwa wanec wote kusaidia kipindi cha uchaguzi wa serekali hii imekuwa changamoto kwa wanec wengine mnec...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.