Kwenye ujenz wa Nyumba hiyo ya kupandisha matofali ndio hatua rahisi.
Ukishamaliza hapo kuezeka standard ni pagumu. Coz unatakiwa ufanye yote wakat mmoja,
Wakat kwenye kujenga unaweza pandisha kozi 5 kwanza.
Pia baada ya kuezeka,
finishing ndio ngumu.
Ogopa sana vifaa unavyonunua vikawa na...
Ujenz sio mrahisi kama mnavyoandika hapo juu.
Alaf Kuna mtu kasema Nondo 6[emoji23][emoji23][emoji23].
Kwa uzoefu tu,
hapo sio chini na Nondo 20 , * 21k. = 800k
Kuna kokoto roli 1 hapo, 200k+.
Kuna trip 2 za Mchanga 200k
Matofali hapo weka 2,000 * 1,250 ni 2.5 Mill
Cement ni mifuko 20 kujenga...
Sio Lazima , ila ni Jambo la Muhimu kuwa tajiri.
Wote tutakufa, iwe maskin au tajiri ,
Hatujui tunapoenda.
Ni vema tuishi Dunia hii kwa raha na Furaha.
Ukiwa tajiri , shida nying utatatua .hivyo ni Muhim kuwa tajiri
Leo Kanji ataumia wallah.
Timu kubwa ziko na vibonde.
Ila usitake matamaa, odds zisizidi 5.
NB :
Game ya Cameroon vs Zimbabwe
Na Egypt vs Botswana nadhan sio za Direct win.
Sina uhakika sana kwenye hili.
Kanji hapa bado hajafanya maamuzi. Kama ni void au lah.
Kanji anafuata official results. Zinazotangazwa na bodi husika,
Mfano Kama ni TZ, na TFF wakasema timu ipewe point 3 na goli 3, then Kwa manajiri hayo, Romania ameshinda na Kanji atafuata hayo maamuzi.
Kama...
Ilitokea Fujo dk 90+ (ndan ya zile dk za nyongeza).
Game ilikuwa 0-0 .
Wachezaj wa Cosovo wakatoka uwanjan, wakasubiriwa baada ya lisaa limoja hawakurudi, refa akaanzisha mpira kukiwa na wachezaj wa Romania wenyewe, alaf mpira ulivyoanza tu , akapiga filimbi uishe.
Uwezekano mkubwa Romania...
Mm nadhan angalau tuweke mikeka hata mitatu.
1. Direct win changanya na DC
2. Over 1.5 changanya na Under 4.5
3. Cards over 2.5 na Corners over 6.5
Pia odds zisiwe mlima sana na stake isiwe ndogo sana.
Hizo options Kanji hachomoi , tutampuna tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.