Recent content by Juma chitende

  1. J

    Sakata la mauaji Uvinza, Kigoma: Zitto aanza kuibuka kidedea, Lugola amuagiza IGP kuwachukulia hatua vigogo wa Polisi mkoa na wilaya

    Acha Ujinga chadema wamefanya nn ktk hli sakata la mauaji au wadhan zitto n chadema?
  2. J

    Kwa nini namtuhumu Deo Mwanyika?

    Waungwana nahitaji elimu kwa hili la kjj cha rupota w nachingwea.mtendaji Wa kjj kwa ushirika Wa wahuni ambao not wajumbe s/kjj ,wamewapiga faini ya tshs 25000/ wananchi wasio na choose bora na salaama.bnafc najiuliza HV kwa mazingira ya kjjn MTU inawezekana akawa na choose bora na salama wakati...
  3. J

    Kubenea na Komu wanapaswa kuheshimu timing

    HV mpaka Leo bado?,pole xana kakushinda had I yule dogo Wa Bvc Leo hii ni DC!
  4. J

    Zitto: Kwanini Serikali inaogopa Wachunguzi wa Kimataifa? Ushauri wa Lema swadakta

    Si SiaSiasa ni mfumo Wa maisha yako na yangu ,hacha mzaha na uhai au cos alikuhusu?
  5. J

    Katibu Mkuu CHADEMA, Dkt. Mashinji: Rais akiniteua siwezi kukataa

    Kauli tata ya Dr mashinji ila tusubiri time will talk
  6. J

    Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

    Hii sasa ni too much,kamanda Wa police MKOA DCM aweze kufunga mipaka ya nchi yote.hii ndo tz,ukishindwa kuona ya Mussa lazima utaona ya firauni
  7. J

    Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

    Dereva kafanya nn acha kudouble standard hoja.umeambiwa wasiojulikana cha mcngi ni kamera za CCTV but kama bungeni zilitoka hapa zitakuwa n mbovu kwa musa huo Wa tukio
  8. J

    RC Mbeya : Nimemshauri Rais Magufuli awe anateua Wakuu wa Idara kwenye Halmashauri

    Kama ndivyo ili taaluma na siasa viciingiliane ,hats uteuzi Wa wakuu Wa idara ucteuliwe na mwanasiasa(rais nk).ama kweli awamu hii tutashindwakuona ya firaun ila ya musa tutayaona cos akina musa wamfanowe tunao mitaani
  9. J

    Tundu Lissu: Napendekeza kutafakari mambo yafuatayo ya kufikirisha katika kujaribu kuelewa maana halisi ya hii hama hama

    We we umejuaje issue ya chumbani wakati u is not cdm family?.angalau ungekua jirani tungefikiria kukuamini.u must be devil
  10. J

    Tundu Lissu: Napendekeza kutafakari mambo yafuatayo ya kufikirisha katika kujaribu kuelewa maana halisi ya hii hama hama

    Ndugu unaleta mzaha ktkt uhai,nguvu na uwezo Wa MUNGU ukuadhibu hapahapa duniani.
Back
Top Bottom