Jamii forums Kuna watu kazi Yao kubwa kukatisha watu tamaa hakuna kitu ambacho hakiwezekani, watanzania tunaweza kuwatumeelimika ila bado tuna uswahili mtu kapost anaulizia vigezo vinavyotumika ili aweze kupata nafasi kama unajua mpe mwongozo sifa Gani anatakiwa awenazo sio kila post lazma...
Naishi Dar es salaam nimewahi kufanya kazi kwenye shule za private ili nilishndwa kuendlea kufanya kazi sabbu shule ambazo nilibahatika kufanya kazi hawalipi mishahara Kwa wakati unaweza kukaa hata miezi mitatu hujalipwa hivyo naombeni mnisaidie connection ya kazi yoyote ambayo itaniingizia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.