Kuna nyumba inauzwa Milioni 45,
Ina mpangaji analipa kodi laki MBILI na nusu,
Ipo maeneo ya mbuyuni karibu na Mizani kwa chini...Ina VYUMBA VINNE, sebule,choo cha ndani public...
We kumbe huna akili,Mimi naongea kitu ambacho kilitokea bibie! Sukari tulinunua Elfu Tano kilo wakati wa jiwe,wewe kwakuwa alikuwa ni nabii kwako uwezi kuongea ilo japo si kwamba tunakosoa, hata wakati wa Kikwete wakati najenga cement ishawai kufika hadi 25000 mfuko kutoka Elfu Kumi na mbili...
Chai! Na kama nikweli wewe ni zuzu kabisa! Ilitakiwa tarehe 29 utandikwe nyingi! Ili kupunguza kundi la wapuuzi ( just kidding).
Yaani unasusa kwa mtindo huo?hadi hati za viwanja,heti KADI ya bank na password! Is not true for perfect man!
Kwani ungemruhusu aende msibani kuna tatzo gani labda!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.