Kiranga wewe nenda tu huko kwenye Yale mambo yako magumu magumu, kama mijadala ya uwepo wa Mungu, na mengineyo ya kisayansi. Waite maswahiba wako akina nyani ngabu,mshana jnr, faiza fox, DaVinci, Pasco bila kumsahau mmadenyi
Kwani mimi huyu huwa naishi dunia gani hasa isiyokuwa na ufahamu, nami siku moja moja nikawa naulisha umma wa watanzania madini yaliyoshiba kama haya. Samahani napita tu nikiwasalimia wadau wa huu mjadala
Kwani nini kinashindikana iwapo tu maslahi wameafikiana. Kumbuka Charles alipotoka London alikuja kufanya kazi azam pamoja na swahiba wake Tido baada ya kusitishwa mkataba wake pale Tbc
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.