Recent content by julguy

  1. J

    Nahitaji kuanzisha biashara ya dagaa kutoka Mwanza - Dar, natafuta soko la bidhaa yangu hii

    N 0765931051 nicheki mkuu nipo mwanza ninazo dagaa ,niunganishe na uyo mama wa Dodoma
  2. J

    Biashara ya Fuso La Mizigo

    Nipe mawasiliano yake
  3. J

    Jenista Karibu Afya:; Fanya Haya Kwa NHIF

    Mtendaji mkuu wa iyo wizara ni katibu mkuu na sio waziri hivo basi ingependekezwa serikali iteuwe katibu mkuu wa wizara iyo awe ni daktari mwenye ufahamu na maswala hayo ya afya ,!!!!! Serikali
  4. J

    African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania

    Rwanda haina mahusiano mazuri na congo ,hasa upande wa magharibi mwa ziwa kivu,na majinbo ya kivu,Goma! Ambapo hakuna usalama na Kuna makundi mengi ya waasi yenye siraha Kali
  5. J

    Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

    Ardhi inatakiwa itolewe idara ya halmashauri ,na iundwee mamlaka ya kusimamia ardhi kama magufuli alivoivunja idara ya maji iliyokuwa chini ya halmashauri nchini! Samia anatakiwa avunje idara ardhi iliyochini ya halmashauri ,na atengeneze taasisi,wakala, mamlaka inayoshughurikia masuala ya...
  6. J

    Waagizaji sukari nje wanadanganya bei ya manunuzi. Serikali iwe makini

    Mahusiano kati yetu na zambia Kwa sasa Dio mazuri hii ni kutokana na vita ya kibiashara mpaka wa tunduma - Nakonde
  7. J

    Kuna kitu Rwanda inachokitafuta Tanzania! (Serikali, nchi yetu ni salama kiasi gani?)

    Mbona nasikia Rwanda nzima Imepigwa lami, kigali yote Iko safi , maendeleo kama yote! Yani ni nusu ulaya,na anatamba na logo ya visit Rwanda kwenye klabu ya arsenal na psg kuvutia wataliii
  8. J

    Ikiwa Asilimia 82% ya Shehena inayopita bandari ya Dar inaenda DRC, Zambia na Rwanda, SGR inajengwa kwenda Mwanza kufanya nini?

    Kagame mkorofi saana ,hata congo hawatakubali sgr ipite Rwanda,maana muda wowote wanaweza kulianzisha ,lengo la magufuli ni kulenga soko la kusafirisha bidhaa sgr ipite kigoma ,then ingine Burundi Hadi congo na sgr ingine ifike mwanza,na meli zisafirishe mizigo mpaka Jinja na portbell ,hivo...
  9. J

    DOKEZO Serikali iko wapi masoko yanakuwa machafu kiasi hiki? Kipindupindu kitatuacha?

    Mfumo wA uongozi wa soko ndio shida,Kodi wanakula na hawapangi watu ,wakupanga usafi,na Hilo soko linafaa livunjwe lote lijengwe kisasa,na pia serikali inatakiwa iwasimamie Viongozi wa mazingira bwana afya,na wizara ya ofisini ya makamu wa raisi na mazingira , kuhusu , kuweka sera ya usafi...
  10. J

    Kwanini wenye nyumba wanalazimisha wapangaji walipe Kodi kwanzia miezi 6?

    K ila kila mwezi anachukua Kodi bei gani
  11. J

    Kukithiri kwa wingi kwa pombe fake, Mamlaka imeshindwa kudhibiti?

    Ni jukumu lamamlaka ipi ,unayoilalamikia ni Tbs au maabara ya mkemia mkuu wa serikali
Back
Top Bottom