Ahsante Mkubwa; kiukweli Siku hizi huyu dogo anaboa ile mbaya na kufikiri safari ya sanaa imefika mwisho kumbe bado..sasa napata mashaka juu ya safari yake katika sanaa na hawezi fika mbali kama ataendelea na kuendekeza ulimbukeni anao ufanya sasa..Ni dhahiri shahiri kabisa sasa huyu kijana ndo...
Mimi nafikiri cha kumsaidia ingekuwa vema kama angeweka picha ya shoga ake pete na kidole Daud A.Bashite, Nashukuru nchi yangu haina sheria ya ndoa ya jinsia moja..Kama ingekuepo bas hapana shaka wawili hao wangefunga ndoa..
Na Huyo domo ana umaana gani wa kutumia picha ya Mwl..Sifa pia zikizidi ni tatizo na pia sifa huwa zina kikomo chake..Kwanza Mwl J.k si mtu wa Kariba yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.