na nyie michadema sijui huyu zitto amekukoseeni nin?!!! maana mnamfuatilia na kumzushia kijana wa watu mpaka inakera. sasa asisalimiane na watu?!!!! nyie mbona mmepewa lowassa na ccm na hakuna anayewajadli.
we hakuna utakayemtoa akili na mawazo hapa, labda ni hao wanaUKIWA wenzio. ukitaka serikali ikae kimya na kuzubaa tu wakati tayari kuna watu wameshatangaza vita! hivi kuwaamrisha watu walinde kura unajua ina maana gani?!!!....ni kupiga makelele, kutisha watu wanaokuja kupiga kura na kuzomea...
12STONE
SIMBILISI WE!!!!!!!!!!!! hata adolf hitler alipendwa sn ujerumani, TENA NA WATU WOTE NA SI NA BAADHI YA WATU KAMA LOWASSA ANAVYOPENDWA NA WANACHADEMA (maana najua hayuko mioyoni mwa wanacuf na wananccr-mageuzi, wanaenda tu kwenye mikutano sababu ya mkono wa chuma uliopo huko vyamani...
navipongeza vituo vyote vilivyoamua kupotezea mipasho ya huu ushetani usio na tija kwa wananchi. nina uhakika ukawa wamehuzunika kweli maana walivyosikia kuwa anaongea na vyombo vya habari leo basi walijiweka tayari kweli wakifikiri kuwa kuna la maana litaongelewa...matokeo yake ndiyo hayo...
mtu wa kazi huwa hachekicheki hovyo. na vp yule babu yenu ambaye hutikisika mdomo tu wakati ukitamka, ''peoples....peoples......peoples....''. sehemu zingine za mwlili zote zimekomaa..hazitikisiki hata kidogo!
muda mfupi uliopita tuliambiwa humu kuwa watu jana walienda kuona wasanii tu huko moro na siyo magufuli. leo bila shaka wameenda kumuona lowassa na kusikiliza sera nzuri zitolewazo naye na siyo kuona wasanii, au siyo ndg?
kama kweli maneno haya yametoka kinywani kwa mh. lowassa, na siyo vibaraka wake kina mbatia, basi naunga mkono hoja kwa 100% kuwa huyu mzee ni mgonjwa!!
hii ni hatari sana,.....na haya ndiyo mawazo ya kukurupuka kwa wanaukawa (chadema) wengi...sasa sijui hawa waumini wa dini hii wametajiwa nini hapa....na wenyewe sijui watakuwa na tafsiri gani? na mwisho hiyo tafsiri sijui itamnufaisha nani kt ya pande hizi mbili?...kinachonishangaza zaidi...
kiukweli nakerwa sana na jibu hilo lenye rangi nyekundu ambalo hutolewa na wengi sana humu jamvini. kwa hakika, jibu kama hilo, is the surest sign of our highest degree of stupidity, if not uncouthness. samahani wadau, hiyo lugha siifahamu vizuri....mleta mada ameleta mada nzuri sn kwa wenye...
una akili ndogo sana wewe! kula mihogo haimaanishi kula mihogo km mihogo.....inamaanisha anakula vyakula vya kawaida tu kama watanzania wengine wa kawaida. jamani hv hii tanzania imepatwa na nini???? mbona watu wamekuwa WAPUMBAVU namna hii?!!!!! waalimu wa 'literature' wako wapi? maskini tz...
kumbe ni kweli yawezekana bavicha ikawa na maana 'baraza la vichaa la chadema' ee kama wengine wanavyoita! ss hapo ccm walilazimishaje mtu huyo kupitishwa huko kama nyie siyo vichaa mliokosa muelekeo? watu wengi mno wamekatwa ccm na kuhamia chadema.....sijasikia hata siku moja mtu kutoka ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.