Hii hatua ni nzuri kuelekea kufa kwa vyama
vyote vya upinzani.Watu wengine wanashangilia
lakini tunasahau kuwa wakati wa chama kimoja
hakuna aliyekuwa na haja ya kuangalia/kusikiliza bunge
labda wenye ndugu bungeni maana kulikuwa hakuna mawazo
mbadala.
Naona Tunaelekea huko,na kwa sasa hatuwezi...
Jamani mimi naona wengi wetu wanajibu swali hili kiutani.
lakini ni ukweli usiopingika kuwa kama una gari
kuombwa lift na traffic ni kitu cha kawaida,
Sasa achilia huyo aliyekuwa na gari lenye namba za IT
je ikikutokea wewe mwenye gari lenye usajili wa jina lako.
huoni itakuwa shida zaidi endapo...
Wa kubeza wanabeza,ila nimejifunza kuwa
mtu asijione salama nyumbani kwake
na kujifanyia lolote kwa kudhani yuko peke yake
na yule alipo mbele yake.Kuna mengi nyuma ya pazia.
Tatizo ni kuwa wafanya biashara wengi hawajiongezi,hapo nyuma bei ya mahindi ilipanda
kwa sababu kila mmoja alifungia nafaka yake akisubiri msimu wa mazoea
matokeo yake kila mtu ana mahindi wakati wanunuzi hawapo/hawana fedha.
siku nyingine wafanya biashara waache kufanya biashara kwa mazoea...
Kijana mimi nakushauri fanya unachojisikia moyoni.
Ili mradi hufanyi uhalifu,ulichokipost kila mwenye akili
timamu anakubali kwamba ulifanya jambo lililookoa
maisha yako na ya wenzio ambao waliona ni heri kufa
kuliko kuonyesha nyufa za majengo sababu ya woga.
Waliogundua ndege meli na vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.