Last friday sikuiangalia pia ila katika flash back memory ya calvin inaonekana walikuwa hotelini kwenye chumba. Sasa wapendanao na michezo yao aphiwe akamblind fold calvin ... Hiyo ikatrigger machingu ya yaliyotokea wakati ametekwa kule CAR ndo akamuattack. Mateso aliyopotia akiwa amefungwa...
Huyu Naibu Waziri anataka kuiingiza nchi katika matatizo ya kujitakia tena......he has no right whatsover kumuongelea balozi wa nchi nyingine hivyo...ni breach of diplomatic procedures....actually ni amemuongeleshea Cameron kwa sababu ni mwakilishi wake.....
Katika maisha haya muhimu ni kujaribu ku-balance at any cost mtu usielemee upande mmoja ukasahau majukumu mengine. Tatizo ni kuelemea upande mmoja kuwaridhisha maboss wetu mpaka watoto tunawasahau. Wazazi wetu wangekuwa hivyo wallahi kizazi cha miaka ya sabini na themanini kingekuwa balaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.