Recent content by jrm

  1. J

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    Mie kero yangu ni umeme. Ni aibu kwa Tanzania kulia na umeme wakati tuna mito kibao tena isiyokauka! Lakini wanasiasa wanasema eti ni tech ya kizamani. Sweden mpaka sasa wanatumia hii tech mpaka wanauza umeme nje. Hoja yangu tujenge umeme wa maji mto Rufiji ambako wataalamu wanasema kuna...
  2. J

    ebooks kwa ajili ya Form V na VI

    Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo: 1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand 2. Biology science - Taylor Greeen 3. Inquiry into life - Sylivia Naomba msaada kama kuna mtu anavyo.
  3. J

    ebooks kwa ajili ya Form V na VI

    Natafuta vitabu vya ebooks kwa ajili ya Advanced level kama ifuatavyo: 1. Fundaumentals of physical chemistry by Chand 2. Biology science - Taylor Greeen 3. Inquiry into life - Sylivia
  4. J

    Bei mpya za Internet Bandwidth za TTCL, 45,000=/ kwa mwezi

    Kwa sasa ni Tsh 30,000 kwa 1GB kwa mwezi. Kama speed itakuwa nzuri si bei mabya
  5. J

    How to Determine the Best Small Laptop (Ultraportable) for You

    I recommend asus eee pc s101, I read specification seems to be nice gadget
  6. J

    Ipi ni nafasi ya siasa katika maendeleo ya nchi?

    Siasa kwa ligha ya kigeni ni "Polytics" na ni kilatini ikiwa ni muunganisho wa maneno mawili, poly and tics. Poly maana yake ni wingi na tics ni wadudu wanaofyonza damu ya wanyama kama ng'mbe. Hivyo kama "Mchukia Fisadi" alovyotahadharishwa kuwa akiingia kwnye siasa hataiona mbingu ndo hii...
  7. J

    Afordable netbook

    Asante kwa maelekezo, itabidi nitume mtu anitizamie maana nakaa Bukoba. Lakini nashukuru kwa muda wako
  8. J

    Msaada please: ArcView GIS 3D Analyst

    Mr. Buswelu nami ninahitaji masaada kama huo, kama unaweza naomba unitumie hiyo ARCGIS 9.3 kwenye DVD. Hii ni email yangu majulajulius@yahoo.com ili inkutumie physical address. Asante
  9. J

    Afordable netbook

    I'm in need of affordable netbook. If somebody know were to buy one in Tanzania please inform me. I searched one in the internet which is ASUS eee pc S101 which seem to please me. It uses DC 12V power ideals for remote areas, SSD storage and more. Or if there is anothe make with the same...
  10. J

    Ipi ni nafasi ya siasa katika maendeleo ya nchi?

    Kwa hapo nami umenikuna, maana nilikuwa na najiuliza swali hili hili! Nadhani twaweza endelea bila mbunge lakini mwalimu asipoingia darasani kufundisha kwa siku ni hasara kubwa sana kwa nchi. Acha waganga na manesi wasiingie hospitalini itakuwaje kwa wagonjwa? Lakini cha ajabu mbunge alipwa hela...
Back
Top Bottom