Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Mara nyingi najiuliza umuhimu wa siasa lakini bado sijapata jibu.
Tena nahitaji msaada wa kujulishwa kama siasa ni lazima katika kuendesha nchi.
Naona siasa kama porojo zinazopingana na utaalamu.
Maamuzi ya kisiasa yamejaa jazba,hisia na mitazamo ya watu.
Siasa haijali taaluma bali hukumbatia itikadi.
Ipi ni nafasi ya siasa kwa maendeleo ya nchi?
Tena nahitaji msaada wa kujulishwa kama siasa ni lazima katika kuendesha nchi.
Naona siasa kama porojo zinazopingana na utaalamu.
Maamuzi ya kisiasa yamejaa jazba,hisia na mitazamo ya watu.
Siasa haijali taaluma bali hukumbatia itikadi.
Ipi ni nafasi ya siasa kwa maendeleo ya nchi?