Huo wizi upo tangu mwishoni mwa mwaka Jana mi wamejaribu wakashindwa make mi ndo nahudumia na ndo mwenye duka sasa wakituma kwa msichana wangu na Mimi nakuwepo hapohapo kwahiyo tunawaenjoy but mwanzoni ilinipa shida kutambua simu yangu wameipata wapi kutuma SMS kwa msichana wangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.