Recent content by Jr Simeo

  1. Jr Simeo

    Naomba ushauri juu ya ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Je, ni njia zipi bora za ufugaji wa kuku wa kienyeji ambazo basi zitanifanya niweze kunufaika na ufugaji wakuku hao, lakini pia naomba kwa mwenye uelewa na kuku hawa anieleze ni mtaji kiasi Gani napaswa kuwa nao ili kuanza ufugaji wa kuku hawa. Naomba kushauriwa na kuelekezwa kwa kina.
  2. Jr Simeo

    Umuhimu wa kuthamini mapito yako

    Usimahau aliyejitoa kidogo alichokua nacho ili akukwamue katika shida zako. Alisimama kama ngazi ukapita , basi nawe simama kama ngazi apite au kipite kizazi chake hiyo ndiyo hekima, busara na mapenzi ya kweli.
  3. Jr Simeo

    Tanzania: The Personal Data Protection Commission's Board should be independent from any interference - Minister

    I also agree with Hon.Nape's suggestions simply because making it independent i will enable the commission to operate smoothly with no any interruptions. The significance of making the commission free from interruptions of individual's will is one that's relevant and fantamental ingredient for...
  4. Jr Simeo

    Kuna wakati ukimya wako ni bora zaidi kuliko kuongea!

    Muombe Mungu akuzidishie hekima ya kunyamaza kwa yale wanayokutendea, kwani ukiyazungumza yatakupeleka matatani kwakuwa kunawakati ukimya wako ni bora zaidi ya uzungumzaji wako katika kila jambo. However you cannot stay silent at everything you face, Therefore you need to internalize yourself...
  5. Jr Simeo

    DART Special Thread: Tunaomba Maoni Ushauri, Malalamiko, Pongezi na Mapendekezo kuhusu Mabasi ya Mwendokasi

    Kweli hata Mimi nilikua nikifarijika sana na matumizi ya kadi ili kupunguza msongamano usio wa lazima
Back
Top Bottom