Sema walipa ada wetu nao shida sana
Yani hawataki kusikiliza mawazo yetu wasomaji kabisa, mbaya zaidi wanasema tuu wewe soma hawaangalii hata soko la ajira likoje
ifike pahala watanzania tuwe wazalendo ktk nafasi tulizojaaliwa na m/mungu, maslah yafate baadae, so sad...ila namuombea kheri maana atakua amepata funzo ktk hili
amina, nashukuruni wote kwa maombi yenu na ushauri, tumerudi hospital dokta kasema atakua sawa kuna dawa wanampa kwa njia ya drip[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.