Recent content by Jr Lazaro

  1. J

    NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

    Au wewe ndiyo umesoma kama tayari😂😂
  2. J

    NSSF wabadili sheria yao ya kutoa mafao

    Kwanini mtu anayeacha kazi kwa hiari na alikuwa mwanachama halali wa Nssf hawezi kupewa hela zake mpaka afikishe miaka 55 Yaan umri wa kustaafu? Mbona kama hii sheria inafavor zaidi upande wa NSSF na sio mwanachama. Kwanini mtu anayefukuzwa au kuachishwa kazi na muajiri ndiyo anapaswa kupewa...
  3. J

    Ally Kamwe: Ni wakati sasa wa kijana wenu kuondoka Jukwaani

    Hizi kiki tu na kutafuta tension,Huyo si muajiriwa? Wakati anaingiaa kazini Yanga walitangaza na Manara alikuwepo ,Iweje leo Yanga wasitangaze kuondoka kwake?
  4. J

    Miaka 12 ya Bongo Movie bila uwepo wa Steven Kanumba

    Comparison kills...Kwa wakti wake alikuwa Bora sana ..
  5. J

    Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

    Lili Wayne ngoma inaitwa Love me kamshirikisha Drake
  6. J

    TANZIA Bilionea Mustafa Sabodo afariki dunia

    Dogo sisi tulikomaaa tulikuwa tunaoga kibishi na sabuni za kawaida...😂😂😂..Nakusalimu Kutoka Texas Hapa kijana
  7. J

    Watangazaji wa mpira wanawajuaje wachezaji haraka vile uwanjani

    Mbona Watangazaji wa Azam Wanafanya utangazaji Wa kisasa kabisa ..Fuatilia Kina Ayoub Hinjo,Gharib mziga ni
Back
Top Bottom