Naona huna hoja ya msingi kuhusu nilichoandika, lakini najua umeshaelewa vya kutosha,
Umesema Mungu hajaandika sehemu kuhusu kumheshimu Maria, hii ni dhana ya kitoto kabsa, unajua maana ya heshima? Na kinyume chake ni dharau, kwa hiyo huko kanisani Kwenu mnafundishwa usipoona imeandikwa kwenye...
Hakuna anayemtukuza Maria bali tunamheshimu sana kama mbarikiwa kuliko wanawake wote, soma Luka1:48, Luka1:28. Ivi unaweza kujiuliza kwa akili ya kawaida kabsa, kwamba inawezekanaje umheshimu mtoto halfu aliyemzaa umtukane( tena wengine husema ni bahasha),?
Kumbuka Yesu alipoletwa na Mungu hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.