Recent content by Jplus Jr

  1. Jplus Jr

    Buriani Baba, Mama na rafiki yangu kipenzi, niko nyuma yenu naja. Hujafa hujaumbika

    Ndo mahali niliko kuwa nimepafikilia tu ndg hasa baada ya kuambiwa kasaidia wengi pia. Na mm jinsi navoteseka nikaona nikifanikiwa huko nikapona ni sawa, lkn ndo maana pia nikaomba na ushauri kwenu maana bado cjaenda
  2. Jplus Jr

    Buriani Baba, Mama na rafiki yangu kipenzi, niko nyuma yenu naja. Hujafa hujaumbika

    Habarini za leo, poleni na majukumu. Nawashakuru wote mlionipa pole na kunitia moyo juu ya tatizo langu. Lakini nimeona wako ambao wana mitazamo tofauti wengine wakitukana na wengine kupata mashaka kuhusi huenda mm nitapeli, na wengine kusema mbona sionyeshi ushirikiano na nimetoweka wote hao...
  3. Jplus Jr

    Buriani Baba, Mama na rafiki yangu kipenzi, niko nyuma yenu naja. Hujafa hujaumbika

    Ahsante wote kwa pole zenu. Sijui kama ni mikosi na laana au kuna mkono wa mtu juu ya ninayopita hasa pale napopiga hatua nikianza kuona mwanga mambo yanageuka tena. Lakin namwachia Mungu yote.[emoji120]
  4. Jplus Jr

    Buriani Baba, Mama na rafiki yangu kipenzi, niko nyuma yenu naja. Hujafa hujaumbika

    Ahsante sana rafiki, namba 0714393345 nimeiandika hata hapo mwisho kabisa jina ni SAFELI MWAKABONA.
  5. Jplus Jr

    Buriani Baba, Mama na rafiki yangu kipenzi, niko nyuma yenu naja. Hujafa hujaumbika

    Tar 05 ya mwez jana nilimpoteza mama yangu mzazi aliyeugua kwa miezi 2 nyuma kabla ya umauti kumkuta. Ni mzazi pekee aliyekuwa amebaki ya kifo cha baba yangu mzazi kwa ajali. Maisha yangu yalikuwa ya kubaingaiza sana na hali yangu kiuchumi ilizorota sana baada ya mama yangu kuwa ameugua kwa...
  6. Jplus Jr

    Tupia top 4 yako EPL kwa msimu wa 2021/22

    Nafasi 3 za juu ziko wazi City Liver Chelsea Hapo kwenye 4 lazima kiumane kati ya Utd, Arsenal na Spurs. Wote hawa wana nafasi kuingia top four
  7. Jplus Jr

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Baada ya jumuiya mkaamua kujumuika kwa muingiliano wa maungo ya siri. Dah! Kwel Ibilisi ana nguvu sana
  8. Jplus Jr

    Siipi Simba nafasi ya kuitoa Red Arrows

    Aisee simba haiwez kukulazimisha uipe nafasi kama hutaki acha
  9. Jplus Jr

    Simba SC yaachana na Kocha Mkuu Didier Gomes da Rosa, Thierry Hitimana kuwa kocha kipindi cha mpito

    Huyu walompa ukocho mkuu binafsi nina mashaka nae ingawa anaweza kuwa na vyeti vya elimu ya kutosha juu ya taaluma yake. Lkn kuwa na cheti na nin unachokifanya kulingana na taaluma yako ni vitu viwili tofauti. Simuoni kama ni kocha anaweza kuivusha simba na sioni kama ana mbinu zaid za...
  10. Jplus Jr

    Kampuni ya basi la Shabiby, hii ni hatari sana kwa abiria wenu

    Jamaa kaongea ili apate watetezi watetezi nao wanamkimbia na kesi wanamrudishia yy dah! Kweli usitarajie majibu uyatakayo ww[emoji1787]
  11. Jplus Jr

    Sikujua kama ndio ulikuwa unaniaga na ulikuwa unaenda kufia mikononi mwa mama yako

    Ahsante sana kaka. Na nawashukuru wote pia wanaonitia moyo napata nguvu kutokata tamaa. Pia nawashukuru wachache waliojitolea kwa chochote hata kidogo walichokuwa nacho kuni-support hivi sasa niko njiani kwenda kumzika mke wangu. Tuzidi kuombeana.
Back
Top Bottom