Habari wandugu...
Vigezo vya kuwa super dealer wa gas za kupikia ni zipi ...na mwenye abc ya hii biashara. Na je mtaj wa 50 ml unaweza tosha? Na changamoto zake?
Natanguliza shukran
Habari wandugu . Naomba kuelimishwa vibali na leseni zinazoitajika katika ku run biashara ya pembejo .... Na usharu kwa ujumla wa biashara tajwa .. lengo kuifanya kwa ujumla na rejareja
Nimesoma Cs & Technology... Ila ni kwa extra effort ndio unatoka nondo... hii field bila extra effort utoboi.... na kwa china ni hali mbaya zaidi kwasababu kule bila kusoma kwa kichina utabaki kupoteza mda tu . Ukitaka difference kwa china soma kwa chinese medium sio english. Been there for 6...
Nenda Google kachek full stack javascript developer ni nan !! Utapata majibu na kuchujua skills anazotakiwa kuwa nazo... cheti sio muhimu coz unaweza kuwa na cheti lakin uko empty.... apa skills ndio kipaumbele. Project itakuwa discussed after seeing skilled enough to fit in . Ndio maana kuna...
Habari
Naitaji Full Stack Javascript Developer Or ( Front end na back end mkafanya team )
Pamoja Na Mob Developer ( Flutter or React Nqtive Dev )
Call: 0678650509
NB: Lazima muwe based on Dar Es Salaam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.