UZOEFU WANGU: VIFAA NA RASILIMALI WATU
Namiliki Car Wash huku kunduchi karibia na Eneo la Jeshi.
--Kodi ya Eneo--150,000 tshs. Na hii ilishuka kutoka 500,000 tshs wakati nafungua. Kwasababu mzunguko wa biashara ulikuwa mdogo. Bei mara nyingi ni maelewano.
--Malipo ya wafanyakazi? Na walip kwa...
Nafanya kazi kwenye kampuni moja ya simu hapa Tanzania. Tupo kwenye michakato ya kuboresha huduma zetu. Na ili kufanya hivyo tukaamua kuutengeneza huu uzi.
Hii post ni kwa ajili kupata USHAURI wenu wadau wa simu za smartphone. Unaweza ukatuambia ni kitu gani kilikufanya ununue simu unayotumia...
Unaweza ukatumia njia mbali mbali:
-Nenda door to door. Au nyumba kwa nyumba ukiuza bidhaa yako
-Weka meza kwenye soko, au barabarani. Fanya ''demo'' kwa kutumia microphone ku-promote bidhaa yako. Kuna ambao watajipitisha ili kujua unasema nini. Lenga wanawake.
-Tengenza vipeperushi, au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.