Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Habari wapendwa. Naomba msaada wa anaejua Jinsi ya Kujiunga na jumia.
Nina bidhaa zangu nataka Niwe nauza huko.
Shida ni jee najiungaje. Mwenye kujua Tafadhali anieleweshe mnaamini humu Kuna wanaojua. Asante sana.
Mbarikiwe
Nina bidhaa zangu nataka Niwe nauza huko.
Shida ni jee najiungaje. Mwenye kujua Tafadhali anieleweshe mnaamini humu Kuna wanaojua. Asante sana.
Mbarikiwe