PILIKA PILIKA ZA TAKRIBANI MWAKA MZIMA WA CHAGUZI ZA CCM KUANZIA VIKAO, MIONGOZO HATIMAYE CHAGUZI NDANI YA MASHINA, MATAWINI, KATA HATIMAYE WILAYA ULIGOTA TAREHE 02/10/2022 NA SASA KINACHOSUBIRIWA NI NGAZI YA MIKOA NA HATIMAYE TAIFA Fuatana nami Joseph Yona
Dunia imeshuhudia Chama ambacho Ni...
Hakika David Kafulila mwamba wa Escrow, au mwanasiasa msema kwa utafiti ameeleza vizuri na hakika tumeelewa, uchambuzi kuhusu sekta ya maji upande wa Mkoa wa Simiyu imejieleza vizuri, asante mwamba wa Escrow endelea kuelimisha Watu wajue Rais wetu Mama Samia Anaupiga Mwingiiiiiii sanaaa.
Hakika tunaishuhudia dhamira njema Sana ya serikali ya Rais wetu Mama #Samia Suluhu Hassan, Sio tu malisho lakini jamani Ngorongoro hakukua hata na sehemu ya kuhifadhiana wapendwa Wao mauti yakiwakua, lakini hata maduka hayakuwepo, sehemu nyingiii tofauti na Kijiji Cha Endureni walifuata bidhaa...
Ni Joseph Yona Na soccer letu
KWA MUJIBU WA TAARIFA NI KUWA WALIRUSHIANA MANENO KATI YA HAJI MANARA NA RAIS WA TFF KARIA
KAMA WALIRUSHIANA MANENO WHY AFUNGIWE MMOJA AU RAIS WA TFF ANARUHUSIWA KURUSHIA MANENO MTU YEYOTE
Chini ya Uongozi wa Karia
[emoji117] Malinzi Kakamatwa
[emoji117] Wambura...
Umeongea kweli kabisa mkuu, CCM muda woote inawaza na inawazia maendeleo ya watu, leo Mama Samia Anaupiga Mwingiiiiiii kuhakikisha jamii ya Tanzania inasonga mbele kwa walau kugawana kile ambacho taifa letu limebarikiwa, ndo maana amefungua nchi na Royal TOUR kuhakikisha taifa linafaidika na...
VIPAUMBELE VYANGU ENG HERSI SAID NIKIWA RAIS WA YANGA
(1) MIUNDOMBINU YA KLABU
(a) Ujenzi wa uwanja wa mechi wenye uwezo wa kubeba watu 20,000-KAUNDA JANGWANI.
(b) Marekebisho ya jengo la klabu-JANGWANI
(c) Kuendeleza TRAINING CENTRE-KIGAMBONI
(2) MABADILIKO YA MUUNDO WA KLABU
Klabu yetu...
Pesa za ujenzi wa nyumba za Msomera zinatoka serikalini kutokana na mapato ya NCA... Anyway ili twende sawa ni hivi Ngorongoro hakuna mwekezaji wa hivyo kule wanapohama ni utalii tu....watu wanachanganya kati ya Ngorongoro na Loliondo.... Loliondo kuna uwindaji ambapo hakuna anayehama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.