SAFIRI KIFALME, Kwa huduma za uhakika kwa usafirishaji abiria na mizigo, kupeleka watoto shule n.k, Tafadhali tupigie 0672 706 263, tupo Dar Es Salaam Temeke, Bei ni maelewano na ni nafuu sana.
Kuhusu kuisha kwa matairi, kuna uwezekano matairi yanajazwa upepo kuliko ilivyoshauriwa hivyo fatilia mahitaji ya tairi husika kwamba kiwango gani kinatakiwa, kwa kuongezea matairi yote inabidi yawe na upepo sawa, kuvuja kwa oil itakuwa pale chini ya injini unapomwagia oil kutakuwa kumelegea au...
Jaman af tuwe serious katika kutoa comments, kama kitu unajua toa maoni yako kwa uzoefu au kwa kusikia ila masihara yakiwa mengi mnayumbisha ... !!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari ndugu zangu,
naomba ushauri kwa vitu vya kuzingatia unaponunua gari mpya kwa mara ya kwanza, yaani umeenda kununua showroom au umeagizia kutoka Japan na ndo limefika.
Nini cha kuzingatia kabla na baada ya kukabidhiwa gari?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.