Mgombea wa ubunge Ccm bunda mjini anahutubia watoto anawaambia kuwa maabara Ya taifa ndio inayotengeneza dawa tunazotumia, wakuu huyu ni kwa nini tume isimuondoe haraka iwezekanavyo? Anawapotosha watoto wanaosoma huko Shuleni si watadhani ni kweli?
Polisi wamemuomba msamaha lisu na kumuomba aendelee na ratiba zake za kampeni na kumtakia ushindi mnono, ni baada Ya kujikutaka wakifundishwa sheria na lisu Kwa kuwaelekeza namna sheria inavyomtaka Polis kufanya Wakati Wa wito wa mtuhumiwa, lisu amewambia kupitia ukurasa wake kuwa jina...
Wakuuu polisi wamempigia tundu lisu kampeni pasipo kujua, yani kahangaika na mabarua Mara kumwiiita maara kusema akaripot Polis Moshi wamejikuta kuwa wanachokifanya ni kumpigia kampeni pasipo kujua
Polisi wameamua kumsaliti magufuli na kumuuunga mkono lisu Kwa kumpigia kampeni, hawa polis wamefanya Jambo kubwa saanaa sasa Yule aliesema kuwa watu wanaenda kuona msukule sasa ndio atajua hajui watu sasa wataenda kuongezeka Kwa kwenda kutaka kujihakikishia kumuona huyo aliewashinda Polis na...
Haya Mimi nikiwaaambia kuwa hiii kitu haiwezekani haya Sasa polisi imemuomba radhi lisu na kumuomba kuendelea na ratiba zake na wamemtakia ushindi wa kishindo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.